La loro adorazione presso la Casa, non è altro che sibili e battimani 1 : «Proverete il castigo per la vostra miscredenza!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakukuwa kuswali kwao kwenye Msikiti wa H(arām isipokuwa ni kupiga mbinja na kupiga makofi, basi onjeni adhabu ya kuuawa na kutekwa siku ya Badr kwa sababu ya kukanusha kwenu na vitendo vyenu ambavyo hakuna mwenye kujitokeza kuvitenda isipokuwa makafiri wenye kukataa upweke wa Mola wao na utume wa Nabii wao.