Attribuirono consimili ad Allah per sviare [la gente] dal Suo sentiero. Di’: «Godete pure: la vostra destinazione è il Fuoco!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hawa makafiri walimfanya Mwenyezi Mungu ana washirika ambao waliwaabudu pamoja na Yeye, ili wawaepushe watu na Dini Yake. Waambie, «Stareheni katika maisha ya ulimwengu, kwani hayo ni upesi kuondoka, na marejeo yenu na kurudi kwenu ni kwenye adhabu ya Jahanamu.»