«Concedimi una dilazione – disse – fino al Giorno in cui saranno risuscitati.»
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Iblisi akasema kumwambia Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, alipokata tamaa na rehema Yake, «Nipe muda mpaka Siku ya watu kufufuliwa, ili nipate kumpoteza ninayeweza kumpoteza kati ya wanadamu.»