Quindi tagliarono i garretti alla cammella, disobbedirono agli ordini del loro Signore e dissero: «O Şâlih, se sei uno degli inviati, fai cadere su di noi ciò di cui ci minacci».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wakamchinja ngamia kwa kutojali onyo la Ṣāliḥ, na wakaingiwa na kiburi kilichowafanya wasifuate amri ya Mola wao na wakasema, kwa njia ya shere na kwa kuona kuwa adhabu iko mbali na wao, «Ewe Ṣāliḥ, tuletee hiyo adhabu ambayo unatuonya nayo, iwapo wewe ni miongoni mwa Mitume wa Mwenyezi Mungu!»