Per coloro che avevano tacciato Shu‘ayb di menzogna, fu come se non avessero mai abitato in quei luoghi. Coloro che tacciavano Shu’ayb di menzogna sono andati in rovina.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale ambao walimkanusha Shu'ayb walikuwa kama kwamba hawakukaa kwenye nyumba zao wala hawakustarehe humo. Kwani walimalizwa, isibaki alama yoyote yao, wakapatikana na hasara na maangamivu duniani na Akhera.