E la terra, l’abbiamo distesa e vi abbiamo infisso le montagne 1e ogni cosa abbiamo fatto crescere con dovuta misura.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na ardhi tumeinyosha ikawa kunjufu, tukaweka juu yake majabali yenye kuiimarisha , tuakaotesha kila aina ya mimea ambayo waja wanaihitajia kwa kipimo kinachojulikana.