Di ogni cosa abbiamo tesori, ma la facciamo scendere in quantità misurata.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hakuna chochote cha manufaa ya waja isipokuwa ziko kwetu hazina zake za kila aina, na hatukiteremshi isipokuwa kwa kadiri iliyowekewa mpaka, kama vile tutakavyo. Hazina zote ziko mkononi mwa Mwenyezi Mungu, Anampa Anayemtaka na Anamzuilia Anayemtaka, kulingana na rehema Yake kunjufu na hekima Yake kubwa.