e quelli che fanno del Corano «un’accozzaglia slegata» 1
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Na wao ni wale walioifanya Qur’ani kuwa ni vigawannyo na mafungu.» Kati yao kuna wanaosema, ‘ni uchawi’ na kati yao kuna wanaosema, ‘ni ukuhani’ na kati yao kuna wanaosema yasiyokuwa hayo ili wawazuie watu kufuata uongofu.