Alif, Lâm, Rà 1. Questi sono i versetti del Libro saggio.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
(Alif, Lām, Rā’.) Yametangulia maelezo juu ya herufi zilizotajwa kimkato mwanzo wa sura ya Al- Baqarah. Hizi ni aya za Kitabu kilichopangwa vizuri ambacho Mwenyezi Mungu Amekipanga na kukifafanua kwa waja Wake.