In verità, quanto ai prediletti di Allah 1, non avranno nulla da temere e non saranno afflitti;
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Jueni mtanabahi kwamba mawalii wa Mwenyezi Mungu hawatakuwa na kicho cha mateso ya Mwenyezi Mungu Akhera, wala wao hawatasikitika juu ya hadhi za kilimwengu walizozikosa.