[Disse Allah]: «Ora ti penti, quando prima hai disobbedito ed eri uno dei corruttori 1?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Je, sasa hivi, ewe Fir'awn, wakati kifo kimekushukia ndipo, unakubali kuwa wewe ni mja wa Mwenyezi Mungu na hali ulimuasi na ukawa ni miongoni mwa waharibifu wenye kuzuia njia Yake kabla ya adhabu Yake kukushukia! Basi toba haitokunufaisha wakati wa kukata roho na kushuhudia kifo na adhabu.