Quando furono introdotti alla presenza di Giuseppe, questi accolse il padre e la madre 1 e disse: «Entrate in Egitto in sicurezza, se Allah vuole!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Ya’qūb na watu wa nyumbani kwake wakatoka kuelekea Misri wakimkusudia Yūsuf. Walipofika kwake, Yūsuf aliwakumbatia wazazi wake wawili na akawaambia (wao wote), «Ingieni Misri kwa matakwa ya Mwenyezi Mungu na hali mkiwa mko kwenye amani na mumeepukana na shida, ukame na kila zito.»