O forse, prima di questo, demmo loro una Scrittura alla quale si attengono?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Je, walishuhudia uumbaji wa Malaika au tuliwapatia kitabu kabla ya hii Qur’ani tuliyoiteremsha, wakawa wameshikamana nacho, wakifanyia kazi na wanajijengea kwa hicho hoja za kukupinga, ewe Mtume?