Ma non vi servirà a nulla 1 in quel Giorno, poiché siete stati ingiusti e pertanto sarete insieme nel castigo.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Haitawafalia kitu leo, enyi mlioupa mgongo utajo wa Mwenyezi Mungu, kwa kushirikisha kwenu duniani, kuwa mmeshirikiana na wenzenu (wa Kishetani) katika adhabu. Basi kila mmoja ana fungu lake kamili la adhabu kama mlivyoshirikiana katika ukanushaji.