In quel Giorno gli amici saranno nemici gli uni degli altri, eccetto i timorati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Marafiki katika kumuasi Mwenyezi Mungu duniani watatengana wao kwa wao Siku ya Kiyama. Lakini wale waliofanya urafiki juu ya uchaji Mwenyezi Mungu, urafiki wao utadumu duniani na Akhera.