Urleranno: «O Mâlik 1 , che ci finisca il tuo Signore!». Risponderà: «In verità siete qui per rimanervi».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hao wahalifu waliomkanusha Mwenyezi Mungu, baada ya Mwenyezi Mungu kuwatia kwenye moto wa jahanamu, watamwita Malik, mshika hazina za Moto kwa kusema, «Ewe Malik! Basi na Atufishe Mola wako, tupate kupumzika na haya tuliyonayo,” Hapo Malik awajibu, «Nyinyi ni wenye kukaa, hamna kutoka Motoni na hamna makimbilio ya kujiepusha nao.”