Sono certamente quelli che nella vita futura saranno coloro che avranno perduto di più.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Ukweli ni kwamba wao kesho Akhera ni wenye kapata hasara zaidi kibiashara, kwa kuwa wao waliacha daraja za Pepo na kuchukuwa mashimo ya Moto, kwa hivyo wakawa kwenye Moto wa Jahanamu. Huko ndiko kupata hasara waziwazi.