Dissero: «Sai bene che non abbiamo alcun diritto sulle tue figlie 1, sai bene quello che vogliamo!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wakasema watu wa Lūṭ kumwambia yeye, «Umeshajua tangu mbeleni kwamba sisi hatuna haja ya wanawake wala matamanio. Na wewe unajua tulitakalo. Yaani, sisi hatutaki isipokuwa wanaume na hatuna hamu ya kuoa wanawake.»