Segui ciò che ti è stato rivelato dal tuo Signore. In verità Allah è ben informato di quel che fate.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na uyafuate yale uliyoletewa wahyi kutoka kwa Mola wako, ya Qur’ani na Sunnah. Hakika Mwenyezi Mungu Anayaona mnayoyafanya na ni Mwenye kuwalipa kwa hayo, hakuna kitu kinachofichamana Kwake katika hayo.