eccetto che con le loro spose e con schiave che possiedono – e in questo non sono biasimevoli,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Isipokuwa kwa wake zao au wajakazi waliomilikiwa na mikono yao ya kulia. Hao, Waumini hawana lawama wala makosa kuwaingilia na kujistarehesha nao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewahalalishia.