Ma a proposito [di questo Corano] i loro cuori sono distratti 1. Ci sono azioni verso le quali gli iniqui andranno inevitabilmente 2.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Lakini nyoyo za makafiri ziko kwenye upotevu uliowafinika, zimejiepusha na Qur’ani na yaliyomo ndani yake. Na wao, pamoja na ushirikina wao, wana matendo mabaya, Mwenyezi Mungu Anawapa muhula wayafanye, ili ziwapate wao hasira za Mwenyezi Mungu na mateso Yake.