Quando vi erano recitati i Miei segni, volgevate le spalle,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Zilikuwa aya za Qur’ani zikisomwa kwenu, ili mupate kuziamini, na mlikuwa mnazikimbia hamtaki kuzisikia na kuzikubali na kuzitumia, kama anavyofanya mwenye kurudi nyuma kwa kule kurudi kwake nyuma.