Quando udimmo la Guida, credemmo; e chi crede nel suo Signore non teme danno né offesa.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Na sisi tulipoisikia Qur’ani tuliiamini na tukakubali kuwa ni ukweli unaotoka kwa Mwenyezi Mungu. Basi mwenye kumuamini Mola wake, kwa hakika yeye hataogopa kupunguziwa mema yake wala kudhulumiwa kwa kuongezewa makosa yake.