e quando li vedevano, dicevano: «Davvero sono fuorviati!».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hawa makafiri wanapowaona Maswahaba wa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wamefuata uongofu, huwa wakisema, «Hakika hawa wamepotea kwa kumfuata Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.