Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Az-Zumar 39:74

39:74
وقالوا الحمد لله الذي صدقنا وعده واورثنا الارض نتبوا من الجنة حيث نشاء فنعم اجر العاملين ٧٤
وَقَالُوا۟ ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ ٱلَّذِى صَدَقَنَا وَعْدَهُۥ وَأَوْرَثَنَا ٱلْأَرْضَ نَتَبَوَّأُ مِنَ ٱلْجَنَّةِ حَيْثُ نَشَآءُ ۖ فَنِعْمَ أَجْرُ ٱلْعَـٰمِلِينَ ٧٤
وَقَالُواْ
ٱلۡحَمۡدُ
لِلَّهِ
ٱلَّذِي
صَدَقَنَا
وَعۡدَهُۥ
وَأَوۡرَثَنَا
ٱلۡأَرۡضَ
نَتَبَوَّأُ
مِنَ
ٱلۡجَنَّةِ
حَيۡثُ
نَشَآءُۖ
فَنِعۡمَ
أَجۡرُ
ٱلۡعَٰمِلِينَ
٧٤
Risponderanno: «Lode ad Allah, Che ha mantenuto la Sua promessa nei nostri confronti e ci ha fatto eredi della terra 1 . Abiteremo nel Paradiso ovunque vorremo». Quant’è magnifica la ricompensa di coloro che hanno [ben] operato!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hapo Waumini watasema, «Shukrani zote ni za Mwenyezi Mungu Aliyetuhakikishia ukweli wa ahadi Yake Aliyotuahidi kupitia kwa ndimi za Mitume Wake, na Akaturithisha ardhi ya Pepo tukawa tunashukia kwenye ardhi hiyo popote pale tunapotaka. Ni mazuri yaliyoje malipo ya watu wema waliojitahidi kumtii Mola wao.»