Disse [Mosè]: «Giammai, il mio Signore è con me e mi guiderà».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Mūsā alisema kuwaambia, «Sivyo! Mambo si kama mlivyotaja. Hamtafikiwa. Kwa hakika Mwenyezi Mungu Yupo na mimi kwa msaada, Ataniongoza njia ya kuokoka mimi na kuokoka nyinyi.»