Non ne facemmo corpi che facessero a meno del cibo, e neppure erano eterni!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hatukuwafanya wale Mitume kabla yako wawe nje ya tabia ya binadamu, wasihitaji chakula na kinywaji, na hawakuwa ni wenye kukaa milele wakawa hawafi.