Sì, è venuto con la verità, e ha confermato gli inviati [che lo hanno preceduto] 1 .
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye.