Il Giorno in cui sorgerà l’Ora, giureranno i criminali di non essere rimasti che un’ora [nei loro sepolcri] 1. Già mentivano [sulla terra].
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na siku kitakapokuja Kiyama na Atakapo Mwenyezi Mungu kuwafufua viumbe kutoka makaburini mwao, wataapa washirikina kwamba hawakukaa duniani isipokuwa kipindi kifupi cha wakati. Watasema urongo katika kiapo chao kama walivyokuwa wakisema urongo duniani na wakiikataa haki ambayo Mitume walikuja nayo.