In quel Giorno le scuse saranno inutili a coloro che furono ingiusti: non saranno ascoltati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Basi Siku ya Kiyama, hazitawafaa madhalimu nyudhuru zao wazitowazo, na hawatatakiwa wamridhishe Mwenyezi Mungu kwa kutubia na kutii, isipokuwa watateswa kwa makosa yao na maasia yao.