Il castigo toccherà coloro che smentiscono i Nostri segni, per il loro perverso agire.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wale waliozikanusha aya zetu za Qur’ani na miujiza, hao itawapata adhabu Siku ya Kiyama kwa sababu ya ukafiri wao na kutoka kwao kwenye twaa ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka.