Coloro che hanno creduto e non ammantano di iniquità 1 la loro fede, ecco a chi spetta l’immunità; essi sono i ben guidati».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafuata sheria Yake kivitendo, na wasichanganye imani yao na ushirikina, wao ndio wenye utulivu na usalama na wao ndio walioongozwa kwenye njia ya haki.