Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Al-Anfal 8:57

8:57
فاما تثقفنهم في الحرب فشرد بهم من خلفهم لعلهم يذكرون ٥٧
فَإِمَّا تَثْقَفَنَّهُمْ فِى ٱلْحَرْبِ فَشَرِّدْ بِهِم مَّنْ خَلْفَهُمْ لَعَلَّهُمْ يَذَّكَّرُونَ ٥٧
فَإِمَّا
تَثۡقَفَنَّهُمۡ
فِي
ٱلۡحَرۡبِ
فَشَرِّدۡ
بِهِم
مَّنۡ
خَلۡفَهُمۡ
لَعَلَّهُمۡ
يَذَّكَّرُونَ
٥٧
Se quindi li incontri in guerra, sbaragliali facendone un esempio per quelli che li seguono, affinché riflettano.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Pindi utakapopambana na hawa, wanaovunja ahadi na mapatano, katika vita, wape adhabu ambayo itatia kicho kwenye nyoyo za wegine na itaitawanya mikusanyiko yao, huenda wao wakazingatia wasiwe na ujasiri wa kufanya kama yale waliyoyafanya waliotangulia.