I miscredenti dicono: «Tutto questo non è altro che menzogna che costui ha inventato 1con l’aiuto di un altro popolo». Hanno commesso ingiustizia e falsità.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wenye kumkanusha Mwenyezi Mungu walisema kwamba hii Qur’ani ni urongo tu na ni uzushi uliofanywa na Muhammad na akasaidiwa na watu wengine. Kwa hakika wamefanya udhalimu mbaya sana na wameleta uzushi wenye kuchukiza, kwani Qur’ani haikuwa inamkinika kwa binadamu yoyote kuizua.