coloro che, quando vengono ammoniti con i versetti del loro Signore 1, non sono né sordi né ciechi
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na ambao wakipewa mawaidha kwa aya za Qur’ani na dalili za upweke wa Mwenyezi Mungu hawajighafilishi nazo wakawa kama ambao ni viziwi hawakuzisikia na vipofu hawakuziona, lakini nyoyo zao zinazielewa na akili zao zinafunguka kuzikubali, na basi hapo wanajipomosha kwa Mwenyezi Mungu hali ya kusujudu na kutii.