Gustarono le conseguenze della loro condotta e l’esito della loro condotta fu la dannazione.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
tukawahesabu juu ya matendo yao duniani hesabu kali mno na tukawaadhibu adhabu kubwa na mbaya, wakauonja mwisho mbaya wa ujeuri wao na ukafiri wao, na mwisho wa ukafiri wao ulikuwa ni maangamivu na hasara, hapana hasara nyingine baada ya hiyo.