Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Ad-Dukhan 44:42

44:42
الا من رحم الله انه هو العزيز الرحيم ٤٢
إِلَّا مَن رَّحِمَ ٱللَّهُ ۚ إِنَّهُۥ هُوَ ٱلْعَزِيزُ ٱلرَّحِيمُ ٤٢
إِلَّا
مَن
رَّحِمَ
ٱللَّهُۚ
إِنَّهُۥ
هُوَ
ٱلۡعَزِيزُ
ٱلرَّحِيمُ
٤٢
eccetto chi avrà la misericordia di Allah. In verità Egli è l’Eccelso, il Misericordioso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
isipokuwa yule ambaye Mwenyezi Mungu Amemrehemu miongoni mwa Waumini, kwani yeye huenda akamuombea kwa Mola wake baada ya kuruhusiwa na Mwenyezi Mungu. Kwa hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mshindi katika kuwatesa maadui zake, Ndiye Mwenye kuwarehemu kwa wingi wale wenye kumtegemea na kumtii.