Gusta [questo]: sei forse tu l’eccelso, il nobile?»
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Ataambiwa mfanya dhambi huyo mbaya, «Onja adhabu hii unayoadhibiwa kwayo Leo! Hakika wewe ni mheshimiwa katika watu wako, ulio mtukufu kwao.» Katika haya kuna kumfanyia maskhara na kumlaumu.