Ammonisci dunque, poiché per grazia del tuo Signore non sei né un indovino né un folle.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Basi wawaidhie, ewe Mtume, wale uliotumilizwa kwao kwa Qur’ani, kwani hukuwa wewe, kwa neema ya Mwenyezi Mungu Aliokuneemesha kwayo ya unabii na busara ya akili, ni kuhani anayetoa habari za ghaibu bila ujuzi wala mwendawazimu asiyejua analolisema, kama wanavyodai.