Hanno presso di loro i tesori del tuo Signore o sono loro i dominatori?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Au wanazo wao hazina za Mola wako wanazitumia? Au wao ni majebari wanaowagandamiza viumbe vya Mwenyezi Mungu kwa kuwatendesha nguvu na kuwanyanyasa? Mambo si hivyo, bali wao ndio walemevu walio madhaifu.