il Giorno in cui la loro astuzia non gioverà loro in alcunché e non saranno aiutati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Katika Siku hiyo havitawazuilia wao vitimbi vyao kotokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu kitu chochote, na hatawanusuru yoyote kuwaokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu.