Non hai visto come Allah fa scendere dal cielo un’acqua che rinverdisce la terra? In verità Allah è il Sottile, il Ben Informato.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Je, huoni, ewe Mtume, kwamba Mwenyezi Mungu Ameteremsha mvua kutoka mbinguni, ardhi ikawa kijani kwa mimea iliyomea? Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye huruma na upole kwa waja Wake kwa kuitoa mimea kutoka ardhini kwa maji hayo, ni mtambuzi wa mambo yanayowafaa.