Disse Faraone: «O Hâmân, costruiscimi una torre: forse potrò raggiungere le vie,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na Fir’awn akasema akimkanusha Mūsā katika ule mwito wake wa kumkubali Mola wa viumbe wote na kujisalimisha Kwake, «Ewe Hāmān! Nijengee jengo kubwa. Huenda mimi nikafikia milango ya mbingu au nikakifikia kile chenye kunifikisha hapo,