O popol mio, perché vi chiamo alla salvezza mentre voi mi chiamate al Fuoco?
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
«Na enyi watu wangu! Vipi mimi ninawalingania kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Mūsā, nao ni ulinganizi utakaowafanya nyinyi muishie Peponi na muwe mbali na vituko vya Moto, na nyinyi mnanilingania kufany matendo yenye kupelekea kwenye adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake Motoni.?