La creazione dei cieli e della terra è [certamente] più grandiosa di quella degli uomini 1 , ma la maggior parte di loro non sa nulla.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika ni kwamba uumbaji wa Mwenyezi Mungu wa mbingu na ardhi ni mkubwa zaidi kuliko kuwaumba watu na kuwarudisha uhai baada ya kufa, lakini wengi wa watu hawajui kwamba uumbaji wa vyote hivyo ni jambo sahali kwa Mwenyezi Mungu.