Ciò in quanto vanamente esultaste sulla terra e perché foste orgogliosi 1 .
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Adhabu hiyo itakayowapata ni kwa sababu ya kughafilika mliokuwa nako katika uhai wenu wa kilimwengu, kwa kuwa mlikuwa mkifurahika na yale mnayoyatenda ya maasia na madhambi na tabia mliokuwa nazo za gogi, kiburi na kuwafanyia udhalimu waja wa Mwenyezi Mungu.