Uscì dalla città, timoroso e guardingo. Disse: «Signore, salvami da questo popolo ingiusto».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hapo Mūsā akautoka mji wa Fir'awn akiwa katika hali ya kuogopa, akitazamia kukamatwa na wale wanaomtafuta, na akamuomba Mwenyezi Mungu Amuokoe na watu madhalimu.