Dirigendosi verso Madian disse: «Spero che il mio Signore mi guidi sulla retta via».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na alipokusudia kuelekea nchi ya Madyan, na akatoka nje ya utawala wa Fir'awn, alisema, «Nina matumaini kwamba Mola wangu Ataniongoza njia nzuri ya kuelekea Madyan.»