Coloro ai quali 1abbiamo dato il Libro prima che a lui 2, credono in esso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale ambao tuliwapa Kitabu kabla ya Qur’ani, nao ni Mayahudi na Wanaswara ambao hawakugeuza, wanaiamini Qur’ani na wanamuamini Muhammad, rehema na amani zimshukiye.