Porteranno i loro carichi e altri carichi oltre i loro 1. Nel Giorno della Resurrezione saranno interrogati su quello che inventavano.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wataibeba, tena wataibeba, washirikina hawa mizigo ya nafsi zao na madhambi yake na mizigo ya wale waliowapoteza na wakawazuia wasiifuate njia ya Mwenyezi Mungu pamoja na mizigo yao wenyewe, bila ya wale waliowafuata nyinyi kupunguziwa mizigo yao kitu chochote. Na wataulizwa, tena wataulizwa, Siku ya Kiyama, kuhusu yale ya urongo waliokuwa wakiyazua.